2014-07-13
Hii Ni Hatari Msichana Atumia Mill 49 Za Kibongo Ili Afanane Na Kim Kardashian
Bongo 20 Blog ni blog ya kijamii inayokupa habari mbalimbali za kijamii pamoja na afya ikisimamiwa na Harith Jaha (Mr. Credit)
Katika hali ya kushangaza msichana mmoja jijini London anayefahamika kwa jina la Claire leeson mwenye umri wa miaka 24 ameamua kutumia kiasi cha $30,000 (Tsh 49,755000)...