2014-05-11
wasanii wampongeza Diamond ni kwa kuteuliwa kushiriki tuzo za Bet
Bongo 20 Blog ni blog ya kijamii inayokupa habari mbalimbali za kijamii pamoja na afya ikisimamiwa na Harith Jaha (Mr. Credit)
wasanii wa muziki wa kizazi kipya nchini wamempongeza msanii mwenzao Diamond plutnums kwa kjchaguliwa kushiriki katika tuzo za Bet zinazofanyika kila mwaka nchini...
Wanaotupa taka Ovyo kukiona Ilemela
Bongo 20 Blog ni blog ya kijamii inayokupa habari mbalimbali za kijamii pamoja na afya ikisimamiwa na Harith Jaha (Mr. Credit)
Halmashuri ya wilaya ya ilemela mkoani mwanza imesema ina  imani na utaratibu watendaji na wenyeviti wa mitaa wa kutunga sheria ndogo za usafi na kuwa utasaidia...
Ufahamu mtaa usio na mwenyekiti na unategemea huruma ya mwenyekiti wa mtaa mwingine kwa miaka mitatu sasa
Bongo 20 Blog ni blog ya kijamii inayokupa habari mbalimbali za kijamii pamoja na afya ikisimamiwa na Harith Jaha (Mr. Credit)
Wananchi wa mtaa wa miembeni b uliokuwa ukijulikana kama lidepu bugando jijini mwanza wanakabiliwa na kero mbalimbali zisizokuwa na kikomo kutokana na kukosa mwenyekiti...
Ifahamu njia ya kujikomboa na wimbi la umasikini
Bongo 20 Blog ni blog ya kijamii inayokupa habari mbalimbali za kijamii pamoja na afya ikisimamiwa na Harith Jaha (Mr. Credit)
Katikati ni Rais wa Vicoba Tanzania Bi Devotha Lukokora Wanachi jijini Mwanza wameshauriwa kujiunga na viundi vya ujasiriamali ili kupata mikopo kwa urahisi na kujikwamua...
Jaguar asisitiza kutofanya kazi na Prezo
Bongo 20 Blog ni blog ya kijamii inayokupa habari mbalimbali za kijamii pamoja na afya ikisimamiwa na Harith Jaha (Mr. Credit)
Msanii toka Kenya Jaguar amekaririwa na vymbo vya habari akisema kamwe hatofanya kazi na prezo licha ya Prezo kukaririwa na vyombo vya habari akiwa Tanzania akisema...
Chanzo cha Jayz kupigwa na shemeji yake hiki hapa
Bongo 20 Blog ni blog ya kijamii inayokupa habari mbalimbali za kijamii pamoja na afya ikisimamiwa na Harith Jaha (Mr. Credit)
Taarifa kutoka katika mtandao wa Perez Hilton wa nchini Marekani zinasema ugomvi wa Jay z na shemeji yake ulitoka...
Irene Uwoya afunguka ni baada ya wasiwasi juu ya mali zake
Bongo 20 Blog ni blog ya kijamii inayokupa habari mbalimbali za kijamii pamoja na afya ikisimamiwa na Harith Jaha (Mr. Credit)
Kufuatia kuwa gumzo kwa baadhi ya watu hapa nchini na kuhoji juu ya mali alizo nazo msanii wa fialmu hapa nchini Irene Uwoya,ameamua kuvunja ukimya na kuzungumza...
fid q akwamishwa na mwanae kuoa, pia azungumzia uhusiano wake na salama
Bongo 20 Blog ni blog ya kijamii inayokupa habari mbalimbali za kijamii pamoja na afya ikisimamiwa na Harith Jaha (Mr. Credit)
Msanii wa muziki kutoka jijini Mwanza Tanzania na mshindi wa tuzo mbili za Ktma anayefahamika kwa jina la Fid Q amesema kinachomkwamisha kufunga ndoa ni mtoto aliye...
Diamond kuja na video mpya kutoka Uingereza
Bongo 20 Blog ni blog ya kijamii inayokupa habari mbalimbali za kijamii pamoja na afya ikisimamiwa na Harith Jaha (Mr. Credit)
Msanii kutoka nchini Tanzania Nasib Abdul ama Diamond yupo nchini Uingereza ambapo ameripotiwa kwenda ku shoot video mpya. Taarifa kutoka kwa mpenzi wake aitwaye...
Fahamu namna ya kujikinga na homa ya Dengue
Bongo 20 Blog ni blog ya kijamii inayokupa habari mbalimbali za kijamii pamoja na afya ikisimamiwa na Harith Jaha (Mr. Credit)
Mke wa marehem Dr. Gilbert Buberwa akifarijiwa Wizara ya Afya na ustawi wa jamii imewataka wananchi kuwa makini  na kutumia vyandarua vyenye dawa pindi walalapo...
Je unafaham kama dawa ya meno inaweza kukukosesha mtoto?
Bongo 20 Blog ni blog ya kijamii inayokupa habari mbalimbali za kijamii pamoja na afya ikisimamiwa na Harith Jaha (Mr. Credit)
 Kwa mujibu wa shirika la utangazaji la BBC watafiti kutoka Ungereza na Uholanzi wamebaini kuwa dawa za meno zinazotumika kila siku zina kemikali zinazoathiri...