2013-09-08
Bongo 20 Blog ni blog ya kijamii inayokupa habari mbalimbali za kijamii pamoja na afya ikisimamiwa na Harith Jaha (Mr. Credit)

Mkuu wa wilaya ya ilemela Amina Masenza amesema  wilaya yake itahakikisha inakusanya mapato katika kila chanzo ili kupata maendeleo ya haraka.
Akizungumza na afya redio hapo jana Masenza amesema kwa yeyote atakaye kwepa kulipa kodi
Bongo 20 Blog ni blog ya kijamii inayokupa habari mbalimbali za kijamii pamoja na afya ikisimamiwa na Harith Jaha (Mr. Credit)

Kanye West

Kufuatia mwimbaji wa R&B, Ray J kumdiss ex wake Kim Kardashian na Kanye West katika ‘I Hit it First’ miezi kadhaa iliyopita, Kanye hakuwa amejibu mashambulizi hayo mpaka Jumatatu ya wiki hii (September 9) alipotumbuiza kwa kushtukiza katika show ya