Articles by "celebs"
Showing posts with label celebs. Show all posts
Bongo 20 Blog ni blog ya kijamii inayokupa habari mbalimbali za kijamii pamoja na afya ikisimamiwa na Harith Jaha (Mr. Credit)
muimbaji Milley Cyrus amepost picha katika mtandao wa instagram zinazomuonesha akiwa katika hali ya nusu uchi.Picha hizo mbili zinamuonesha akiwa amejifunika na taulo katika picha ya kwanza wakati picha ya pili ikimuonesha akiwa ameiachia taulo hiyo na kufunika matiti.


Bongo 20 Blog ni blog ya kijamii inayokupa habari mbalimbali za kijamii pamoja na afya ikisimamiwa na Harith Jaha (Mr. Credit)
Kwa mjibu wa chombo cha habari cha holy wood life mtu anayedaiwa kuwa wa karibu na Kanye West amesema msanii huyo amepanga kumuomba Mary J Brige kutumbuiza katika harusi yake na Kim Kardashian.Habari zaidi zinasemamtu huyo alieleza kuwa sababu kubwa ya Kanye kumchagua Mary ni kutokana na kuwa miongoni mwa mashabiki wa Mary.

Bongo 20 Blog ni blog ya kijamii inayokupa habari mbalimbali za kijamii pamoja na afya ikisimamiwa na Harith Jaha (Mr. Credit)
Kampuni ya mitindo ya nchini marekani ya Council of fashion designers of Amerika imesema itamtunuku tuzo ya mitindo ya mavazi msanii Rihana kutokana na muonekano wake wa mavazi pindi anapotoka na kuonekana kwa watu.Akizungumza hivi karibuni kiongozi wa kampuni hiyo Steven Kolb amesema wamefikia uamuzi huo kutokana na mapinduzi yaliyoonekana katika kiwanda hicho cha mitindo kufuatia mavazi anayotumia Rihana.Habari zaidi zinasema tuzo hizo zinatarajiwa kuatolewa june 2 mjini New york mwaka huu.Wasanii wengine waliowahi kuchukua tuzo hiyo ni pamoja na Lady gaga na Kate mos






Bongo 20 Blog ni blog ya kijamii inayokupa habari mbalimbali za kijamii pamoja na afya ikisimamiwa na Harith Jaha (Mr. Credit)

Kwa mujibu wa mtandao wa po crush msanii Jenipher Lopez amemwagia sifa msanii Chriss Brown kwa kipaji alicho nacho.J lo amesema kuwa Chriss ana kipaji kikubwa na kuwa amehusika sana katika kukamilisha nyimbo za albamu yake mpya anayotarajia kuiachia hivi karibuni.Msanii Chriss brown hadi hivi sasa yupo jela alikopelekwa baada ya kufukuzwa rehab




Bongo 20 Blog ni blog ya kijamii inayokupa habari mbalimbali za kijamii pamoja na afya ikisimamiwa na Harith Jaha (Mr. Credit)
Taarifa kutoka katika chombo cha habari cha Daily star, zinasema Msanii Kanye West amepanga kumnunulia mkwe mtarajiwa Kim Kardashian migahawa 10 yenye hadhi za kimataifa.Habari zinasema msanii huyo amefikia uamuzi huo ikiwa ni katika jitihada za kuonesha utofauti kwa mwenzi wake huyo kuwa ni mume ambaye amempa zawadi ya kipekee.Taarifa zinasema kufuatia hali hiyo Kim huenda akawa mfanyabiashara ya chakula wa kimataifa kupitia migahawa hiyo ambayo inatarajiwa kununuliwa kutoka katika kampuni ya Bugger kingworldwide Inc ambayo inatarajiwa kuwa katika nhi za bara la ulaya zikiwemo Italia, Ufaransa na Uingereza.


Bongo 20 Blog ni blog ya kijamii inayokupa habari mbalimbali za kijamii pamoja na afya ikisimamiwa na Harith Jaha (Mr. Credit)
Taarifa kutoka gazeti la new york daily zinasema waandaaji wa filamu za fast furios 7 wameandaa mpango utakaoonesha taswira na pia sauti ya msanii aliyefariki kwa ajali ya gari mwishoni mwa mwaka jana.Habari zaidi zinasema waandaaji hao wamekodi watu wanne wenye miili inayofanana na marehemu Paul Walker kisha kutumia teknolojia ya Computer generated imagery kwa kifupi  CGI.Paul walker alikuwa ni miongni mwa wasanii waliokuwa wakiigiza katika filamu za Fast furios na hata wakati anafikwa na umauti alikuwa ni miongoni mwa wasanii muhimu katika filamu yao mpya ya sehemu ya saba.




Bongo 20 Blog ni blog ya kijamii inayokupa habari mbalimbali za kijamii pamoja na afya ikisimamiwa na Harith Jaha (Mr. Credit)

Jaji wa Los Angeles ametoa uamuzi wa kuendelea kwa kesi ya Kanye West na Kim K dhidi ya mmoja kati ya waanzilishi wa YouTube, Chad Hurley aliyevujisha video ya tukio la wawili hao kuvishana pete.
Mara ya kwanza Jaji wa mahakama ya California alisitisha kwa muda kuendelea kwa kesi hiyo baada ya Chad Hurley kudai kesi hiyo dhidi yake ifutwe kwa kuwa katiba inamlinda kwa madai kuweka kipande cha video hiyo ilikuwa sehemu ya ‘haki/uhuru wa kujieleza’.
Hurley alifunguliwa mashtaka siku moja baada ya kuweka kwenye mtandao wake wa MixBit kipande cha video ya tukio hilo lililofanyika October mwaka jana, kinyume na makubaliano au masharti yaliyowekwa na Kanye West na Kim Kardashian kuwa picha wala video hazirusiwi kuchukuliwa wakati wa tukio.
Katika mashtaka hayo, Kanye West na Kim Kardashian wamedai kuwa Hurley alivunja makubaliano ya usiri yaliyowekwa na kwamba inawezekana amevunja haki ya waandaaji wa show ya ‘Keeping Up With The Kardshians’ ambao walikuwa wanakibali cha kushuti tukio hilo na kulionesha kwenye kituo cha runinga cha E!
Kim Kardashian na Kanye West wanataka walipwe fidia ambayo bado hawajataja kiwango. Kesi hiyo imepangwa kusikilizwa November 17, Mwaka huu.
Bongo 20 Blog ni blog ya kijamii inayokupa habari mbalimbali za kijamii pamoja na afya ikisimamiwa na Harith Jaha (Mr. Credit)
Victoria Kimani, mrembo na mwanamuziki raia wa Kenya amekana kuwa na uhusiano wa kimapenzi na CEO wa Wasafi Classic, Diamond Platinumz kufuatia tetesi zilizozagaa baada ya wawili hao kuonekana kwenye picha kadhaa za pamoja.

“Sifahamu hizi tetesi zimetokea wapi. Nilikutana na Diamond mara moja, na ilikuwa wakati tunarekodi wimbo wa ONE Campaign Afrika Kusini wiki mbili zilizopita.” Victoria Kimani aliiambia Nairobi News.

Aliongeza kuwa hata hawajawahi kuwasiliana kwa simu tangu walipomaliza kupiga picha hizo na zaidi hata namba ya Diamond hana.

“Hata sina namba yake, kwa hiyo sijawasiliana nae tangu tulivyokutana Afrika Kusini.”

Hivi karibuni kaka yake Victoria Kimani, Bamboo alitoa maoni/mtazamo yake na kudai kuwa Diamond sio ‘type’ ya Victoria Kimani.

Hata hivyo, Diamond alikuwa wa kwanza kuzikanusha tetesi hizo na kudai kuwa mrembo huyo ni mshikaji wake tu.
Bongo 20 Blog ni blog ya kijamii inayokupa habari mbalimbali za kijamii pamoja na afya ikisimamiwa na Harith Jaha (Mr. Credit)


Baada ya kiongozi wa G-Unit, 50 Cent kumdhihaki hasimu wake wa muda mrefu, Rick Ross kwa kupost picha zinazoonesha kuwa huenda ni shoga, wengi walijua tayari moto umewashwa na kilichobaki kusubiri nini atakachofanya Rick Ross.

Lakini kwa mujibu wa chanzo cha mtandao wa TMZ, rapper huyo ambaye jina lake halisi ni William Leonard Robert II, hataupoteza muda wake kumjibu rapper huyo na kueleza sababu kuwa anamuona 50 Cent hana umuhimu kwake.

Imeelezwa kuwa Rick Ross amepanga kuiacha hiyo issue ipite kimya kimya na yeye aendelee kujikita katika masuala muhimu ya kutengeneza ngoma kali.

Jumapili iliyopita, 50 Cent alipost kwenye Instagram picha inayomuonesha Rick Ross akimsogelea P.Diddy kama vile wanataka ku-kiss na akaandika kwa ufupi, “something ain’t right’.
Bongo 20 Blog ni blog ya kijamii inayokupa habari mbalimbali za kijamii pamoja na afya ikisimamiwa na Harith Jaha (Mr. Credit)

Mwimbaji wa Naija Davido ameionesha kwenye Instagram simu aina ya iPhone Carat yenye rangi za dhahamu na imeandikwa jina lake na label yake ya ‘HKN’.
iPhone hiyo imeandikwa kabisa kuwa imetengenezwa maalum kwa ajili yake (Exclusively made for HKN Rich Gang). Hili inaweza kuitwa toleo la Davido, kama ilivyoandikwa ‘Davido iPhone Limited Edition.
Bongo 20 Blog ni blog ya kijamii inayokupa habari mbalimbali za kijamii pamoja na afya ikisimamiwa na Harith Jaha (Mr. Credit)
Video ya wimbo wa Katy Perry ‘Dark Horse’ akiwa amemshirikisha Juicy J, imekumbwa na msala baada ya taasisi ya dini ya kiislamu ya Uingereza inayojulikana kama Shazad Iqbal kutaka video hiyo iondolewe YouTube kwa madai ya kumkashfu Mwenyezi Mungu.
Taasisi hiyo imedai kuwa kipande cha video hiyo kinachomuonesha mtu akiwa amevaa cheni iliyoandikwa ‘Allah’ yaani Mungu, akishindwa na nguvu za giza (Magic Power) za Katy Perry aliyetamba kuzitumia kwenye wimbo wake. Lakini kibaya zaidi katika dakika ya kwanza na sekunde kumi na tano ya video hiyo, mtu huyo anaonekana akichomwa moto na kuuawa.
Taasisi hiyo imeiandikia ‘petition’ YouTube na tayari maombi hayo yameshakusanya sahihi zaidi ya 40,000 kwenye mtandao.
“Tunatumaini kwamba video yenyewe yenye picha hiyo itatolewa. Kitendo hicho hakisameheki na hakivumiliki, tunatumaini YouTube itaiondoa video hiyo.” Ameeleza mmoja wa viongozi wa taasisi hiyo.
Wimbo wa Dark Horse wa Katy Perry umeshika nafasi ya kwanza kwenye Billboard 100 kwa wiki nne mfululizo na wimbo huo unapatikana katika albam yake inayoitwa ‘Prism’.
Bongo 20 Blog ni blog ya kijamii inayokupa habari mbalimbali za kijamii pamoja na afya ikisimamiwa na Harith Jaha (Mr. Credit)

Msanii toka nchini marekani Chriss Brown amemlaumu meneja wake kwa madai ya kuvujisha nyimbo za albamu yake mpya ya X.
Kupitia ukurasa wake wa mtandao wa kijamii wa twiter msanii huyu ameandika maelezo yanayoashiria kumtupia lawama meneja huyo wa zamani.
“My old manager is leaking my new Album and refuses to give me my back up hard drive to sabotage my album that’s F’d up G". alitweet Chriss
Kinachoonekana ni kuwa msanii huyo na meneja wake wa zamani huyo hawana uhusiano mzuri na hata hivyo bado hakuna taarifa kama kuna chochote amekizungumza producer huyo kufuatia shutuma hizo.
Kauli ya chriss Brown imekuja ikiwa ni muda mfupi tangu kuachia albaum yake mpya iitwayo “x”
Bongo 20 Blog ni blog ya kijamii inayokupa habari mbalimbali za kijamii pamoja na afya ikisimamiwa na Harith Jaha (Mr. Credit)

Msanii toka nchini Markani Roby Rihana Fenty amesema kuwa alikuwa akipenda kvaa mavazi ya kiume ili awe na muonekano wa nusu jinsia ya kike na nusu jinsia ya kiume.
Akifunguka katika interview na jarida maarufu la Vogue la nchini Marekani msanii huyu amesema wakati yupo mdogo alipendelea sana hali hiyo hasa alipokuwa na umri wa 13 na 14.
“Nilipokuwa na umri wa miaka 13 au 14, sikuwa nataka kuvaa nguo ambazo mama yangu alikuwa anataka nivae. Nilikuwa napenda sana muonekano wa kivulana. Marafiki zangu wote walikuwa wavulana. Nilikuwa napenda vitu ambavyo wavulana wanafanya.” Alisema Rihanna.
Mbali na hilo msanii huyu amedai kuwa hakupenda kuwa maarufu licha ya kupenda kuimba tangu akiwa mdogo ambapo ameeleza alijibidiisha na mazoeziya kuimba mara kwa mara ili kuboresha sauti yake.
“Nilikuwa naimba sana kama mtoto, sana. Nilifanya mazoezi sana kuitengeneza sauti yangu. Napenda kuimba. Nilipenda na haikuwa ratiba ya kila siku. Sikupenda kuwa maarufu. Nilitaka tu muziki wangu usikike duniani kote. Kisha ikatokea na ikaja na umaarufu.”  Rihanna aliliambia jarida la Vogue.
Bongo 20 Blog ni blog ya kijamii inayokupa habari mbalimbali za kijamii pamoja na afya ikisimamiwa na Harith Jaha (Mr. Credit)

Mke wa msanii @face Idibia toka nchini Nigeria anayefahamika kwa jina la Annie Idibiaameamua kulitolea uvivu jarida la Icon lililoandika habari kuwa mewewe amempa ujazito binti mmoja anayefanya kazi bank.
Kupitia ukurasa wake wa twitter Bi Annie ameandika maelezo yanayoonesha kukejeli habari hiyo kwa kuita jarida hilo kuwa ni jarida bubu.

“@AfricanCelebSpy hope u have gotn al d traffic needed 4 ur blog?Thr’s no diff b/w u n dumb icon mag!Evil ple tryn 2 take d suga out of our tea.” Alitweet Annie.

Jarida la Icon liliandika habari kuwa 2face alikuwa na uhusiano wa mapenzi kwa muda mrefu na mfanyakazi huyo wa bank na kwamba tayari ana ujauzito wa miezi mitatu wa msanii huyo.
Liliongeza kuwa chanzo chao kimesema mwimbaji huyo ameshambembeleza mfanyakazi huyo autoe ujauzito huo huku akimuahidi kumpa gari mpya endapo atafanya hivyo.
Bongo 20 Blog ni blog ya kijamii inayokupa habari mbalimbali za kijamii pamoja na afya ikisimamiwa na Harith Jaha (Mr. Credit)

Ni swali ambalo mashabiki wengi wa muziki wanajiuliza juu ya msanii Soulja boy kutoka Chicago Marekani ambaye ametoa taarifa kupitia mtandao wa kijamii wa twitter kuwa ataingia jela mwishoni mwa wiki hii.
Kupitia ukurasa wake msanii huyu ameandika maelezo yanayoonesha kuwa ataingia jela kitu ambacho watu wengi hawakufikiria.
“5 more days until I go to jail. Appreciate everyone who was there for me while I needed y'all.” Alitweet Souja Boy bila kutoa ufafanuzi zaidi.
Hata hivyo kuna taarifa kutoka katika mtandao  wa Tmz zinazosema kuwa msanii huyu hivi karibuni alishitakiwa kwa kosa la kuwa na bunduki na kuvuka bila kusimama katika eneo alilopaswa kusimama huko Los Angeles.
Bongo 20 Blog ni blog ya kijamii inayokupa habari mbalimbali za kijamii pamoja na afya ikisimamiwa na Harith Jaha (Mr. Credit)
Lile swali ambalo wengi walijiuliza juu ya ujauzito wa msanii Kim Kardashian sasa limepata jibu baada ya raper ktoka New york Mr Paper kuzungumza hadharani kuwa yeye ndiye baba wa kichanga cha bishost huyo.
Akizungumza katika interview
Bongo 20 Blog ni blog ya kijamii inayokupa habari mbalimbali za kijamii pamoja na afya ikisimamiwa na Harith Jaha (Mr. Credit)
Rapper wa Young Money, Drake nae ameelezea uhusiano wake na mwimbaji wa Caribbean Rihanna aka RiRi ambaye aliwahi kuzungumziwa kuwa sababu ya ugomvi mkubwa kati ya rapper huyo na Chris Brown aliyekuwa mpenzi wake.
Drake ambaye jina lake halisi ni Aubrey Drake Graham, alieleza katika interview aliyofanya na jarida la Rolling Stone kuwa yeye na mwimbaji huyo ni marafiki tu wanaufurahia maisha pamoja.
“She’s the ultimate fantasy. I mean, I think about it. Like ‘Man, that would be good’. We have fun together, she’s cool and s**t. But we’re just friends, she’s my dog for life.” Alisema Drake.
Aliongelea pia kuhusu uhusiano wa mapenzi na mpango wa kuwa na mpenzi, ambapo alidai kuwa hana mpango wa kuwa na mpenzi kwa sasa, na kwamba hana mzuka wa kutafuta mapenzi kama ilivyokuwa miaka mitatu iliyopita. Na kwamba bado hajakutana na mtu ambaye anayefanya awaone watu wengine hawana mpango.
“I’m not after p***y like I was three years ago, when I was trying to make up for all the years when no girl would talk to me. But I haven’t met somebody that makes everybody else not matter.”
Bongo 20 Blog ni blog ya kijamii inayokupa habari mbalimbali za kijamii pamoja na afya ikisimamiwa na Harith Jaha (Mr. Credit)
Msanii kutoka nchini Marekani Nick Minaj ameweka wazi jina la Albamu yake mpya ambayo anatarajia kuiachia hivi karibuni.
Kwa mujibu wa mtandao wa Baller status wa nchin humo jina la Albam hiyo ni Pink print.
Hatua hii ya Minaj inakuja ikiwa ni katika muendelezo wa project yake ya Pink themed project.
Bongo 20 Blog ni blog ya kijamii inayokupa habari mbalimbali za kijamii pamoja na afya ikisimamiwa na Harith Jaha (Mr. Credit)

Hadi hvi sasa bado watu wengi wanashauku ya kutaka kufahamu ni nani hasa baba wa kichanga cha Kim Kardash kiasi cha kujiuliza ni nani hasa baba wa mtoto huyo.
Mapema juma tano wiki hii kuna taarifa zilitoka kupitia mitandao mbalimbali ya habari nchini marekani kuwa msanii Lil kim ni mjamzito.
Taarifa hizi zilidai kuwa msanii huyu ameonekana katika tamasha la New fashion week akiwa ni mjamzito ambapo baadhi ya watu walidai kuwa ameamua kutumia tamasha hilo kuonesha wazi kuwa yeye ni mjamzito.
Hata hivyo pamoja na kuonekana na ujauzito bado hajafahamika mzazi wa kiume wa kichanga cha mwana dada huyo kilichopo tumboni.
Bongo 20 Blog ni blog ya kijamii inayokupa habari mbalimbali za kijamii pamoja na afya ikisimamiwa na Harith Jaha (Mr. Credit)
Rapper mzawa wa Toronto, Canada, Drake amemchana Ben Haggerty aka Macklemore kwa uamuzi wake wa kuonesha hadharani ujumbe alioumtumia Kendrick Lamar kwa simu baada ya kumshinda kwenye kipengele cha Album Bora ya Rap kwenye tuzo za Grammy mwezi uliopita.
Drake ambaye pia alikuwa akiwania tuzo katika kipengele hicho na album yake ‘Nothing Was The Same’, amefunguka ya moyoni alipokuwa akifanya mahojiano na jarida la Rolling Stone na aliponda kitendo hicho na kumwambia Macklemore kuwa kama alihisi hakustahili basi ajitahidi afanye muziki bora zaidi.
“I was like, ‘You won. Why you posting your text message? Just Chill. Take your W, and if you feel you didn’t deserve it, go get better – make better music.” Alisema Drake.
Mkali huyo wa ‘Started From the Bottom’ alihoji kuwa Macklemore anadhani Kendrick Lamar na wengine waliokuwa kwenye kipengele hicho wangeshinda tuzo hiyo wangemtumia yeye ujumbe?
Hata hivyo, Drake hakuponda kitendo cha Macklemore pekee, aliziponda kiaina tuzo za Grammy na kudai kuwa siku zote katika tuzo hizo huwa hawashindi wasanii bora zaidi katika kiwanda cha muziki.
 Lakini alikiri kuwa hata kama Macklemore na Ryan Lewis walishinda tuzo hiyo kwa njia ipi, ukweli ni kwamba waliwavuta watu wengi zaidi yake yeye, Jay Z, Kanye West na Kendrick Lamar.
Katika tuzo za Grammy 2014, Macklemore & Ryan Lewis walishinda tuzo ya album bora ya Rap ya mwaka ‘Best Rap Album’ na album yao ya ‘The Heist’ na kuzishinda ‘Nothing was The Same’ ya Drake, ‘Yeezus’ ya Kanye West, ‘Magna Carta Holy Grail’ ya Jay Z na ‘Good Kid, m.AA.D City’ ya Kendrick Lamar.
Baada ya kushinda tuzo hiyo, Macklemore alimtumia Kendrick Lamar ujumbe mfupi uliosomeka, “You got robbed. I wanted you to win. You should have. It’s weird and sucks that I robbed you. I was gnna say that during the speech. Then the music started playing during my speech, and I froze.”
Baadae aliupiga picha ujumbe huo na kuuweka kwenye Instagram kuwaonesha watu wote na kuandika, “My text to Kendrick after the show. He deserved best rap album.”