Articles by "cerebrities"
Showing posts with label cerebrities. Show all posts
Bongo 20 Blog ni blog ya kijamii inayokupa habari mbalimbali za kijamii pamoja na afya ikisimamiwa na Harith Jaha (Mr. Credit)

Kijana mmoja mwenye(26) anayetanbulika kwa jina la David Campaya amekamatwa na polisi nchini Hispania kwa kitendo cha kibaguzi alichokionesha kwa mchezaji wa Barcelona Daniel Alves kwa kumtupia ndizi. Taarifa kutokaa katika club ya Viller real anayoiunga mkono zinasema  club hiyo imemfungia kutazama mechi zilizosalia na kuwa imemfungia maisha.Kitendo hicho cha kutupa ndizi kimechukuliwa kwa mtazamo hasi na watu wengi dunian ambapo wameonesha kumuunga mkono Alves kwa kitendo cha kuila ndizi ile ambapo watu wengi wamekuwa wakipost picha katika mitandao ya kijamii zinazowaonesha wanakula ndizi.

Bongo 20 Blog ni blog ya kijamii inayokupa habari mbalimbali za kijamii pamoja na afya ikisimamiwa na Harith Jaha (Mr. Credit)

Huenda hali hii ikawa fundisho kwa baadhi ya viongozi hapa nchini ambao wamekuwa wakitajwa kuwa miongoni mwa watumiaji wa vilevi na pia kuonekana katika club za usiku.Kwa mujibu wa shirika la utangazaji la BBC Meya wa mji wa Toronto Rob Ford ambaye amekuwa akijikuta katika mazingira magumu kufuatia utumiaji wake wa vilevi na mihadharati ameripotiwa kujitambua na kupanga kuchukua likizo ili kufanyia kazi tatizo hilo.Taarifa kutoka kwa mwanasheria wa meya huyo Bw.Denis Moris zinasema tayari meya huyo amekwisha tambua tatizo linalomdhalilisha na kuwa atachukua likizo ili kulifanyia kazi.Uamuzi huu wa meya huyo unakuja katika wakati ambao magazeti mawili ya Canada yakidai yamepata kanda mpya ya inayomuonesha meya huyo akiwa amelewa na akitoa maneno mabaya kww wanawake na wanasiasa wenzake. Habari zaidi zinasema meya huyo bado anampango wa kutetea nafasi yake katika uchaguzi October mwaka huu.






Bongo 20 Blog ni blog ya kijamii inayokupa habari mbalimbali za kijamii pamoja na afya ikisimamiwa na Harith Jaha (Mr. Credit)

Msanii Chriss Brown amelazimika kuendelea kukaa jela hadi mwezi wa sita kutokana na kesi yake inayomkabili.
Kwa mujibu wa mtandao wa Tmz Chriss brown anaendelea kusota jela kutokana na kesi yake kuahirishwa na pia ombi lake kukataliwa na jaji anayesikiliza kesi hiyo.

Chriss brown anakabiliwa na shtaka la kumshambulia aliyekuwa menzi wake msanii rihana.